Swalaah Ya Ijumaa: Wanaume Kuswali Ijumaa Misikitini Wanawake Nyumbani
Al-Lajnah Ad-Daaimah
Ni wajibu kwa wanaume kuswali Ijumaa pamoja na ndugu zao Waislamu katika nyumba za Allaah (Misikitini). Ama wanawake wao hawana Ijumaa na ni wajibu kwao kuswali Adhuhuri.