Swalaah Ya Ijumaa: Suwrah Za Kusomwa Katika Swalaah Ya Ijumaa

Iliyo katika Shariy’ah kusomwa katika Swalaah ya Ijumaa ni Suwrat “Al-A’laa” na “Al-Ghaashiyah” au “Al-Jumu’ah” na “Al-Munaafiquwn”, au “Al-Jumu’ah” na “Al-Ghaashiyah”.
 

 

  [Al-Lajnah Ad-Daaimah (8/279)]