Shaykh Swaalih Al-Fawzaan: Mwanamke Alikuwa Mgonjwa Akafariki Naye Hakufunga Ramadhwaan

SWALI
 
Mwanamke kasibiwa na maradhi akafariki naye hakufunga Ramadhwaan na wala hakulipa, je alipiwe?   
 
 JIBU:
 
Ikiwa aliacha kufunga swiyaam kwa ajili ya maradhi na akafa kwayo, hana juu yake kitu. 
 
Fataawa Shaykh Al-Fawzaan